HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

22 October 2012

KLABU BINGWA AFRIKA NI WAARABU WATUPU Esperance, Ahly



Mohamed 'Geddo' Nagy alithibitisha urejeo wake kiwanjani  baada ya kufunga goli pekee lililoipa ushindi Al Alhy dhidi ya Sunshine Stars toka  Nigeria 1-0 mchezo uliochezwa jijini   Cairo na kuingia hatua ya fainali klabu bingwa Africa baada ya mechi ya kwanza kwenda suluhu ya 3-3

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers