HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

15 June 2014

IVORY COAST YAIAMSHA AFRIKA YAPIGA JAPAN MBILI MOJA

Wilfried Bony glanced in a header to draw Ivory Coast level  

Timu ya soka ya Taifa ya Ivory coast imewatoa kimasomaso waafrika mara baada ya kuwabamiza watengeneza magari kutoka japan kwa mabao mawili kwa moja kwenye mchezo wa Kundi c  ambao ilikuwa mechi ya mwisho kwa saa za brazil mechi ilichezwa usiku wa manane lakini ujapan ilikuwa majira ya saa nne asubuhi na afrika mashariki ilikuwa saa kumi alfajiri 

Japan ndio walikuwa wa kwanza kupata goli katika dakika ya 16 goli lilofungwa na mchezaji mahiri wa japana Honda hadi nusu ya kwanza ya mchezo Ivory coast ilikuwa ipo nyuma kwa bao kwa sifuri .
Kipindi cha pili kilikuwa cha waafrika kutoka na raha kwa mara ya kwanza msimu huu pale Wifred bony aliposawazisha kwa mpira wa kichwa akiunganisha krosi toka wingi ya kushoto na baadae Gervinho kufunga bao la pili na kuhitimisha Rekodi ya wajapan kutofungwa na timu za afrika .

Italy celebrate
Katika mechi za awali Uingereza ilikung'utwa na italia mbili moja wakati
Costa rica ikailaza Uruguay tatu moja na Colombia ikaizaba Ugiriki Tatu sifuri 

Oscar Duarte celebrates heading Costa Rica into the lead

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers