Wachezaji wa Timu ya soka ya San Lorenzo wamempelekea Medali kubwa ya Fedha papa Francis ,ambaye ni shabiki mkubwa wa timu hiyo tangu utotoni mwake .
Pope Francis alikabidhiwa kikombe hicho cha Copa Libertadores na wachezaji na viongozi wa timu hiyo ya Argentine .
Kiongozi huyo wa kanisa Katoriki ni mshabiki mkubwa wa Timu hiyo Tangu alipokuwa Mtoto wa Miaka ambayo maskani yake ni Buenos Aires- .
Jopo la Timu hiyo liliwasili kutoka Argentine Hadi katika jiji la Vatican wakiwa na kikombe chao .
San Lorenzo wameshinda kikombe hicho kwa mara ya kwanza kikiwa ni kikombe kikubwa huko America ya kusini tangu timu hiyo ilipoanzishwa mwaka 106.
San Lorenzo imepata nguvu zaidi Tangu papa Francis maarufu kama Jorge Mario Bergoglio kuwa Papa
Hapa ni siku ya Jumatano walipotwaa ubingwa wa Copa Libertadores
Na Mwezi December walishinda kikombe hicho
Mapema wiki hii , Papa Francis alisema : "Nina Furahi sana kuhusu Jambo hili, Lakini , Hapana , Hii sio miujiza .
"Kwangu Mimi , San Lorenzo ndio timu ambayo familia yangu imekuwa ikiisapoti .Baba Yangu alicheza kwenye timu ya mpira wa kikapu na Tulipokuwa watoto ,Mara Kadhaa tulikuwa tulikuwatunakwenda kiwanjani na mama ,"Aliongeza .
San Lorenzo iliifunga timu kutoka Paraguay's Nacional 1-0 siku ya 13 August na ilipata shilingi 2-1 kwa matokeo ya Jumla .
No comments:
Post a Comment