HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

25 February 2013

ANGETILE :TUTAKAA KUJADIRI NINI TUFANYE KUZINGATIA FIFA INATAKA NINI ?

http://www.ippmedia.com/media/picture/large/AngetilewaTFF(2).jpg
Katibu mkuu wa tff angetile osiah amaesema tff itakutana ili kujadiri maamuzi ya serikali kuifuta kwani wao wanaendesha mpira kikatiba kwani wao wanaongoza mpira unaongozwa na fifa, caf ,cecafa,  na sio serikali na katiba tff inasema kuwa inatakiwa kufuata maagizo ya kutoka  fifa amesema wao watakaa chini na kulitazama na nini wataamua  .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers