United walionekana washashinda mchezo pale Robin van Persie alipofunga goli kwa kichwa na Angel Di Maria alipochop mpira na kuifanya manchester united iongoze katika mchezo huo .
Leonardo Ulloa's alifunga goli kwa kichwa kupunguza idadi ya magoli lakini goli la kisigino la Ander Herrera's liliipa uongozi zaidi United's .
Lakini Leicester's walijikaza na kurejesha magoli hayo kupitia kwa David Nugent aliyefungwa kwa Penati na Esteban Cambiasso na baadae jamie Vardy na penati ya a Ulloa ikawapatia ushindi Leceister city
No comments:
Post a Comment