HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

26 October 2012

BLATTER ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI FA UINGEREZA BAADA KUMPOTEZA John Connelly.


Rais wa shirikisho la soka Duniani FIFA ,Joseph S. Blatter amekiandikia chama cha soka cha uingereza huku akikielezea kwa uchungu kifo cha aliyekuwa mchezaji wa nchi hiyo na moja ya washindi wa kombe la dunia mwaka  1966  John Connelly. 

Connelly, alikuwa  winga katika maisha yake ya soka kiwanjani ambapo alichezea Timu za Burnley, Manchester United, Blackburn Rovers na  Bury, alifariki Alhamisi akiwa na umri wa Miaka 74 
alikuwa moja ya chachu ya ushindi dhidi ya Uruguay 
, Connelly alikuwa moja kati ya wachezaji katika kikosi kilichotwaa ubingwa wa dunia mwaka 66  na alifunga magoli saba katika mechi ishirini alizochezea uingereza katika barua hiyo aliyomuandikia mwenyekiti wa FA 
 David Bernstein, Blatter amesema : “ Ningependa kuelezea salamu zangu za rambirambi za uzunu hasa kwa kumpoteza mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya uingereza  John Connelly ambaye amefariki jana asubuhi  .

“John atakumbukwa kwa kushinda ligi ya uingereza akiwa na Burnley’s katika msimu wa  1960, ambapo kwa wakati huo alikuwa mfungaji bora na baadae aliisaidia Manchester United Kushinda ligi  1965 . 

Kwa niaba ya wanachama wa kimataifa wa familia ya mpira wa miguu Duniani nistajiskia amani zaidi kumpa  heshima yetu 

Familia ya  John’s , Marafiki  na wapendwa wote ambao wamepoteza kipenzi chao  

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers