HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

27 October 2012

BONIFACE WAMBURA AURA TENA



Boniface Eambura ambaye kwa sasa ndiye Menyekiti wa kamatiu ya Viwango ya Chama cha Ngumi za Kulipwa la Afrika ya Mashariki na Kati (ECAPBA) ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya Viwango ya ECAPBA.
Kwa sasa Boniface Wamnura ni mwenyekiti wa Kamati ya Viwango ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC).
Akiwa mtaalam wa uandishi wa habari ambako amefanya kazi kama mwandishi mwandamizi na mhariri kweney vyombo mbalimbali vya habari, Wambura anategemea kuleta ujuzi wake wa mawasiliano kweney shirikisho hili linalokuwa kwa kasi sana katima ukanda huu wa Afrika ya Mashariki na Kati.
Wambura anategemea kuongoza kamati ya watu watano (5) yenye jukumu la kuandaa na kuenndeleza orodha ya viwango vya mabondia toika nchi za Afrika ya Mashariki na Kati.
Baadhi ay wajumbe wanaounda Kamati ya Viwango ya ECAPBA ni pamoja na Simon Mukisa Katogole wa Uganda na Steven Okumu toka Kenya.



No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers