HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

27 October 2012

MATOKEO YA LIGI YA PREMIER YA UINGEREZA

Mikel Arteta ameinusuru timu yake ya Arsenal kwa kufunga bao moja kunako dakika za mwisho za mechi yao na Queens Park Rangers.
Ushindi huo pia ulikuwa mwanzo mpya kwa Jack Wilshere ambaye alikuwa anarejea uwanjani baada ya kuwa nje kwa zaidi ya mwaka mmoja kutoka na jeraha.
Kufuatia ushindi huo Arsenal sasa imepanda hadi nafasi ya nne, katika msururu wa ligi kuu premier na alama 15 alama 7 nyuma ya vinara Chelsea, ambao wanacheza dhidi ya Manchester United hapo kesho.
Katika mechi nyingine Wigan iliandishia ushindi wake wa kwanza katika nyumbani msimu huu baada ya kuilaza West Ham kwa mabao mawili kwa moja.
Ivan Ramis aliifungia West Ham bao lake la kwanza naye James McAthur akifunga bao la ushindi.zaidi ya vipande kuweka.


Aston Villa1 - 1Norwich
Arsenal1 - 0QPR
Stoke0 - 0Sunderland
Wigan2 - 1West Ham

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers