HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

17 September 2014

ARSENAL YACHARAZWA NA DORTMUND ,LIVERPOOL YASHINDA JIONI NI KLABU BINGWA ULAYA.

Szczesny collects the ball from the net

Klabu ya Arsenal's imeanza vibaya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya katika kundi  D mara baada yaa kutandikwa magoli mawili Dhidi ya miamba ya ujerumani Borussia Dortmund ambao walifunga goli kaika kila kipindi cha mchezo na kujihakikishia Ushindi .

Ciro Immobile alifungua sherehe ya magoli kwa Dortmund  Baada ya kumzidi Nguvu Laurent Koscielny na kumfunga  mlinda Mlango Wojciech Szczesny kwa shuti ya karibu.

Dortmund waliongeza goli la pili lilofungwa na Pierre-Emerick Aubameyang lakini kwa mara nyingine tena ,
Danny Welbeck alipoteza nafasi ya kufunga kwa arsenal  wakati mchezaji mwenzake  Aubameyang naye alingongesha mwamba . 
Mario Balotelli scores his first Liverpool goal
Steven Gerrard's alifunga pernati katika dakika za mwisho wa mchezo na na kuipatia Liverpool ushindi wasio utarajia wa magoli mawili kwa moja  2-1 tangu warejee katika ligi ya mabingwa barani ulaya.

Mario Balotelli alifunga goli la kwanza akiwa na jezi ya majogoo akigeuka kwa ufundi na kumfunga mlinda mlango wa Ludo Razgd na kupata goli la uongozi katika dakika ya  82nd-.
Lakini vijana kutoka katika jiji la Sofia nchini  Bulgarian waliasawazisha katika dakika ya kwanza ya muda wa nyongeza pale mchezaji aliyeingia kutoka Benchi  Dani Abalo kuisawazishia timu yake . 

Gerrard, mchezaji Pekee aliyesaria katika kikosi kilichotwa ubingwa wa ulaya mwaka 2005 , ndiye aliyeisaidia timu baada ya   Javi Manquillo kufanyiwa  faulo na Mlinda mlango   Milan Borjan.
MATOKEA MENGINE 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers