HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

31 July 2009

Beautiful Tanzanie Agency

From Right is Nicole Kapesi Project Manager of Kisura and the other from left Yvone Mattoke Ass Pr Manager and Emmy Melau winner of Kisura(08) Give out Explaination abaout Kisura( 09)

Kisura wa tanzania is an annual televised competition that began in November 2007 and concluded its Firsrt season in April 2008 with Emmy Melau From Arusha emrging the winner.Kisura wa Tanzania wa Tanzania was launched with the purpose of empowering young women from different parts of the country and different socio-econimic Background hence the theme “Mimi ni Kisura, Najitambua” The upcoming season of kisura will have a new team,which includes ally Rehmtuallah ,raqey,vanesa Mdee and Emmy Melau Which will go scouting in Phase so as not to conflict with the holy Month of Ramadhan. Phase of scouting will begin with Arusha ,Moshi,Karatu,Tanga, and Dar es salaamfrom august 16th to August 21th Phase two will commence in Musoma then Head to Mwanza and conclude in ngara.This will begin after the Holy Month of Ramadhan ,on the 27 of September till 2nd October .the final Phase will commence in Kondoa then go to Singida and Conclude in Bahati from October 4th till 10th The chosen gilr shall be taken to Dar to begin their Trainingin a boot camp.the girls will be eliminated until five girls are left and the winner of kisura season two is found at the Grand Finale.

Legend Sir Bobby Robson, 76, dies

Former England manager Sir Bobby Robson has died at the age of 76, following a long battle with cancer. Robson will be best remembered on the international stage for leading England to the 1990 World Cup semi-final. At club level, he cut his managerial teeth at Fulham before establishing his credentials at Ipswich where he won the FA Cup and Uefa Cup in a 13-year stay. Spells at PSV Eindhoven, Sporting Lisbon, Porto and Barcelona followed before he managed Newcastle. Robson, who was born in County Durham and watched the Magpies from the terraces, returned to his native north-east in 1999 in what was to be his last major role in football. After leaving Newcastle, he was a consultant for the Republic of Ireland side while he battled cancer, and later took on an ambassadorial role for the Football Association of Ireland. Many floral tributes have already been laid at St James' Park and Newcastle have said the ground will also be open over the weekend. United's players and staff held a minute's silence at the training ground on Friday morning.

Flags at the Football Association headquarters in London's Soho Square and at Wembley Stadium will fly at half mast. Ipswich flags are also flying at half mast at Portman Road and there will be two minutes silence before Friday evening's friendly against Real Valladolid which kicks off at 1930 BST. Robson, who was first diagnosed with cancer 18 years ago in 1991, fought a brave battle against the disease. He beat bowel cancer in 1992, a malignant melanoma in 1995 and a tumour in his right lung and a brain tumour, both in 2006. In 2007 he vowed to "battle as I've always done" following the start of chemotherapy treatment after being diagnosed with cancer for the fifth time. He made his final public appearance at a charity match at St James' Park on Sunday. An England side, featuring Alan Shearer and several members of the 1990 World Cup squad including Paul Gascoigne and Peter Shilton, beat a Germany team 3-2 in front of almost 30,000 spectators.

The game was a repeat of the 1990 World Cup semi-final when England, managed by Sir Bobby, lost on penalties. Shearer scored the winner in Sunday's friendly, from the penalty spot. A statement issued on behalf of Robson's family said: "It is with great sadness that it has been announced today that Sir Bobby Robson has lost his long and courageous battle with cancer

Obituary - Sir Bobby Robson 1933-2009
"He died very peacefully this morning (Friday) at his home in County Durham with his wife and family beside him. "Sir Bobby's funeral will be private and for family members only. "A thanksgiving service in celebration of Sir Bobby's life will be held at a later date for his many friends and colleagues. "Lady Robson and the family would very much appreciate it if their privacy could be respected at this difficult time." Robson is survived by his wife Elsie, and their three children. As a player, Robson, who played as a wing half, was a key member of the Fulham and West Brom team during the 1950s and 1960s and also won 20 caps for England. But it was in management that he established himself as one of the greats of the game. After a brief spell as a player-coach with Vancouver Royals in the North American Soccer League, he took over as boss of Fulham in January 1968 but was sacked by Christmas. Gone but never forgotten, let's remember him for what he was, a true football legend and a gentleman GeordiO_1981 He took over as Ipswich manager in 1969 and guided the unfashionable East Anglian club to FA Cup and Uefa Cup victories in 1978 and 1981 respectively. He also twice led the Portman Road outfit to the runners-up spot in the old First Division. Robson's Ipswich success led to him succeeding Ron Greenwood as England manager after the 1982 World Cup. Failure to qualify for the 1984 European Championships was followed by a run to the quarter-finals of the 1986 World Cup in Mexico where England lost 2-1 to Maradona's 'Hand of God' goal and a superb individual strike by the Argentine legend. The 1988 European Championships were also a write-off with England failing to win any of their group games, but at Italia 90, Robson came within a whisker of guiding the national team to its first World Cup final since winning the tournament in 1966. Floral tributes are being laid at Newcastle's St James' Park England needed extra time to defeat Belgium and Cameroon in the knock-out stages, but came unstuck on penalties again West Germany in the semi-final. Gary Lineker forced extra time with a late equaliser, but Stuart Pearce and Chris Waddle missed from the spot as England bowed out. Lineker told BBC Sport: "It is a sad day and a great loss. He was a wonderful man and will be deeply missed by everybody in the country. "I never played for a more enthusiastic man. He gave so much to the game." During the tournament, it was revealed that Robson would be leaving his England role to take over at Dutch side PSV Eindhoven, where he went on to win successive league titles in 1991 and 92. He moved on to Portuguese side Sporting Lisbon at the end of the season, but his stay lasted only 18 months and it was at rivals Porto that he collected more silverware. The 1994 Portuguese Cup was followed by two more league titles. That sparked interest from Barcelona and Robson moved to Spain in 1996 where he won the European Cup Winners' Cup and Copa del Rey in his first season in charge. A brief return to PSV preceded his 1999 move to Newcastle and he led his beloved Magpies from the bottom of the Premier League in that campaign to fourth place in 2001/02 and third the following season.

In 2002 he was knighted in the Queen's Birthday Honours List. He was sacked by Newcastle in 2004, when he was 71, following a poor start to the season - but he was later given the freedom of the city. In May 2008, he was given the freedom of Ipswich to mark the 30th anniversary of their 1-0 FA Cup win over Arsenal

30 July 2009

BASI LA UNGUA MOTO RUVUMA

Abiria 45 waliokuwa wakisafiri katika basi la Abiria kati ya SONGEA na MCHOMORO wilayani NAMTUMBO katika Mkoa wa RUVUMA wamenusurika kufa baada ya basi hilo kuteketea kwa moto. Basi hilo Mbilinyi Express limeteketea kwa moto katika eneo la NONGANONGA lililopo katika barabara ya SONGEA NAMTUMBO majira ya saa saba za Mchana hii leo (30.07.2009) Mkuu wa kikosi cha Zimamoto katika wilaya ya SONGEA KELVIN MAPUNDA amesema abiria wote waliokuwamo ndani ya basi hilo walifanikiwa kujiokoa kwa kutoka nje mara baada ya basi hilo kuwaka moto isipokuwa bibi mmoja aitwaye MWANANURU HASSAN ambaye ameumia kutokana na kukanyagwa na abiria wenzake. Hata hivyo MAPUNDA amekiri kuwa kikosi chake kilichotumia mitungi ya kuzima moto badala ya gari la Zimamoto ambalo ni bovu, hakikufanikiwa kunusuru mali yoyote

MPO SAHIHI

Nina amini mlipata Fundishi toka kwa Aly Ahly kuwa mna hitaji kuwa na stamina mkitumia njia hizi mtafanikwa na vilevile mkitafuta Gym na Chakula kinatakiwa mtafanana na aikina michae Esien, Big up nilipata kusikia kwa mzee mmoja akisema asante kotoko walipokuja mwaka sabini na nne walishangaa kuona yanga inajengo lakini kotoko leo wanamaendeleo yaliyo izidi yanga nadhani yanga mmeshituka sasa mmefanya la maana Chini ya Imani Madega safi mwenyekiti lakini waambie ndugu zako msimbazi warebishe mambo .

Bustani ya Askari Monument posta mpya yafanyiwa matengenezo

Hii ni bustani ya pale kwenye lilesanamu la yule askari posta mpya barabara ya azikiwe ikifanyiwa matengenezo

REDDS MISS TEMEKE 2009

Jumla ya warembo kumi na mbili watapanda jukwaani agosti 1,2009 katika ukumbi wa TCCL CLUB kuwania taji la miss Redds Miss Temeke ambalo linashikiliwa na Angel Lubala ambaye kwa sasa yupo masomoni nchini marekani
Mratibu wa shindano la miss Redds mis temeke Ben Kisaka na mwakilishi wa vodacom Goerge Rwehumbiza walimpokuwa walitabulisha washiliki washindano hilo leo hii.
Imedhaminiwa Redds premium cold,Vodacom Tanzania,Aurora security,Gazeti la Jambo leo,Sofia Recording 88.4 Clouds Fm ,Mwasu fashion 100.5 Times Fm (Mguso wa jamii) Screen masters Valley springs ,Renzo Salon Mariedo Boutique,Fredito Entertaiment i-view Photographer na Mwanamitindo Ally Rhemtula.
Warembo hao ni Stela solomoni ,sia ndakakosy,shani Anthony,Irene Christopher,Celine Chipeta,Fatuma suzan ,sara Stephen ,Christine Thomas ,Samira Kafinda,grace shayo,Neiza Anthony na Herieth kibambe.Hawa wanatoka katika vitongoji katika vya Chang`ombe,Temeke kusini,kurasini na kigamboni. Mshindi wa kwanza atapata shilingi shilingi million 1.5 wa pili mil 1 wa tatu atapewa laki nane Show itasindikizwa na Lawrence marlaw Pipii Pipii Twanga pepeta na Kundi mahiri la The Chocolate.marlow

29 July 2009

WILL ARSENAL SURVIVE THIS SEASON WHILE TOURE `S DEPATURE

Toure made 29 Premier League appearances last season Manchester City are set to complete the signing of Arsenal defender Kolo Toure for an initial fee of £14m, rising to a possible £17m, BBC Sport understands. The 28-year-old is in Manchester for a medical and confirmation of the deal is expected later on Wednesday. City boss Mark Hughes, who failed to lure Chelsea centre-back John Terry to Eastlands last week, has long admired the Ivory Coast international. Toure was linked to City in January but Arsenal said then he was not for sale. He has been with Arsenal since 2002 but failed to hold down a regular starting place last season. Toure played for Arsenal on Monday night in a pre-season friendly in Hungary, but Gunners boss Arsene Wenger said: "We will see what's happening in the next 24 hours, nothing is decided "We have seven centre-backs and I am in the position where I have to play some in midfield but of course Kolo is a very good player and we will see what will happen in the next 24 hours." Toure has played 326 games for the Gunners, scoring 14 goals, and has two years left on his contract at the Emirates Stadium. He handed in a transfer request in January, which was rejected by the Arsenal boarD

28 July 2009

BOTI IMENASA LEO NYINGINE IKIUNGUA

BOAT ILIYOANDIKWA RESCUE UBAVUNI IMENASA KWENYE ENEO AMBALO KUNA MELI AMBAYO ILIZAMA MUDA MREFU KWA MAANA HII INAMAANISHA KUWA NAHODHA WA MELI AKUELEWA MNARA ULIOPO MITA HAMSINI KUTOKA KWENYE MELI ILIYO ZAMA NAFIKIRI MNARA HUO UNGEWEKWA KWENYE MELI HUSIKA NASIO MITA HAMSINI MBELE.

MELI YA MV PEMBA ILIVYOPATWA NA BALAA LEO ASUBUHI JIJINI DAR ES SALAAM PALE FERI

HUYU NI KATIBU MKUU WA WIZARA YA MIUNDO MBINU OMARY CHAMBO AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA ENEO LA TUKIO PALE FERI JIJINI DAR ES SALAAM MELI YA MV PEMBA AMBAYO NI MELI YA MIZIGO ILIKUWA IKIUNGUA LEO ASUBUHI BAADA KUPATA SHOTI WAKATI WA MATENGENEZO HII NDIYO MELI YENYEWE YA MV PEMBA ILIYOPTA MKASA WA MOTO.

IMETOKEA LEO HII JIJINI DAR ES SAALAM PALE FERI MELI YA MV PEMBA MALI YA AZAM MARINE.

Huu ni moto ambao unawaka kwenye meli hii ya Mv Pemba kwani kadri muda ulivyosizidi kwenda ndivyo mto ulivyozidi kuwaka kutokana muda ambao ilkuwa ukituma kwani maji yalipokuwa yakiisha ilalazimika kujazwa gari tena kwani kutokana na gari kuwa gari nyingine ilikuwa haina uwezo kubeba gari nyingine kwa kuwa Mv Pemba ingeshindwa kuhimili mzigo. Moja kati ya wafanya kazi amabao walikuwa wakifanya kazi ya ziada wakizima moto huo kama unavyoweza kuona kwenye picha.
Wafanya kazi wa kivuko ,Jeshi la polisi wakiwa katika mchakato mzima wa kufanisha shughuri nzima ya kuzima moto vilevile kuimalisha Ulinzi
Usishangae kuona mpira wa maji ukiwa umeshikwa na watu wawili kwani mpira ni mzito ukiwa na maji na unapresha ya hali juu na unahitaji nguvu.
naam hivi ndivyo inavyonekana ulinzi na wafayakazi wakiwa wanashughulika taratibu za uzimaji moto

MELI YA MV PEMBA ILIVYOKUWA INATEKETEA KWA MOTO LEO HII ASUBUHI KUANZIA SAA 4

MELI HII YA MV YA MV PEMBA AMBAYO NI MELI YA MIZIGO ILIKUWA IKIUNGUA MOTO LEO KUANZIA MAJIRA YA SAA NNE ASUBUHI FERI JIJINI DAR ES SALAAM ILIPOKUWA KATIKA MATENGENEZO
Wafanya kazi wa gari ya zimamoto wakiwa katika eneo la tukio wakijaribu kuzima moto ambao ulikuwa ukiteketeza MV Pemba ambayo ilikuwa katika matengenezo inasemekana chanzo cha moto huo ni shoti ya umeme ambayo ilitokea wakati mafundi welding wakifanya kazi ya utengenezaji wa meli hiyo. Huuu ni moto amabo unawaka juu ya meli lakini moto huo ulikuwa ukitokea ndani ya Meli hiyo ya MV Pemba ambayo ni meli ya mizigo Kama unavyoniona hapa nikiwa karibu na meli hii nikishuhudia moto ambao ulikuwa ukiwaka na kwa kasi ya kubwa zaidi
Hapa nikiwa na baadhi ya waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali tulipokuwa tukielekea kwenye eneo la tukio tukiwa na ya Mv Alina ambayo kwa leo iliacha shughuli zake za kusafilisha abiria kwa muda ilikusaidia shughuli za uzima maji moto.
Moja kati ya wafanyakazi ambayo anajaribu kufanya kazi awezavyo ilikuhakikisha kuwa moto huo hausambai tena kwani ukizingatia moto huo ulikuwa ukitokea ndani ya meli hiyo.

27 July 2009

ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU

Mariamu omary kilindo mwenye umri wa miaka thelathini nne ambaye ni mwenyeji wa Maenge mkoani Morogoro na amewahi kulazwa hospital ya Taifa muhimbili mara tano anaomba msaada wa hali na mali ilikufanikisha matibabu ya mwanawe ALOYCE DENIS mwenye umri wa miaka miwili ambaye anasumbuliwa na tatizo ya moyo wenye tobo ambapo hufanya damu kuto kaktika moyo na kuharibu mpangilio wa upumuaji akitoa maelezo Bi mariamu Omary amesema matatizo hayo yamemuanza mwanae tangu alipozaliwa mpaka sasa mara ya kwanza alilazwa kwenye hospitali ya mkoa wa Morogoro na baadae kuhamishiwa hospitali ya Taifa ya muhimbili baada ya kuletwa na Ambulance akitokea Morogoro .
ambapo alilazwa kwa takriban miezi miwili mpaka sita kutoka na na ugonjwa pindi apatapo maumivu makali vilevile aliambiwa afuatilie faili lake ambalo litamsaidia kupata passport lakini amefuatilia mwezi wa sita sasa bila mafanikio ya aina yoyote kwa kisingizio cha mafaili yako mengi aliambiwa kuwa ugonjwa huo hauwezi kutibika mpaka aende KCMC moshi ambapo zinahitaji milioni mblili Au kwa matibabu ya uhakika aende India kutokakana na hali halisi ya mama huyo ambaye anaishi mbagara kwa msasada wa rafiki mama said amesema kuwa hana uwezo wa kiasi cha pesa kinachotakiwa hivyo anaomba wasamalia wema kujitolea kumchangia kwenye akaunti
Acces Bank 03211003945-46 Au awasiliane nae kupitia nambari ya simu ya mkononi 0718 594917 au nambari ya Rafiki yake 0784 992602 Bi mariamu amesema mume wake anaye fahamima kwa jina la Denis Ngaranga yupo Morogoro kwa sasa akitafuta pesa kwa ni hajalima kwa sababu amekuwa akiangaikanae miaka miwili sasa.

JAMAA KAPOZI NA PANYA WAKE

Huyo jamaa aliye keti chini pembeni akiwa na panya wake alijitambulisha kwa jina la Venance Benjamin mkapa atukuweza kufahamu panya yule ni wa kazi gani kwani alikuwa amemkata na kichwa vilevile atukuweza kufahamu kama ana mahusiona na Rais mstaafu kwani tulupomuuliza aliamua kuondoka zake baada ya watu kumzonga tukio hilo limetokea leo hii maeneo ya posta mpya katika barabara ya azikiwe

TIGO YAZINDUA TAWI JIPYA JM MALL

Pichani ni Gur Bachan Singh Obhan mkurugnzi wa wa DECOR TECH (T) Akikata utepe alikuwa mashuhuri kwani amekuwa akitumia tigo tangu ilipokuwa katika mfumo wa ANALOG
Kampuni ya mtandao wa simu ya mkononi Tigo imezindua na kufungua Tawi jipya litakalotumika kuhudumia wateja wa malipo ya baada ndani ya Jengo la JM Mall jijini Dar es salaam.
Akizungumzia uzinduzi huo Mkuu wa mauzo SARAH MWIGUNE Alisema ufunguzi wa tawi hilo jipya litakalotoa
huduma maalum kwa wateja wetu wa malipo ya baada ni udhihirisho tosha kuwa tigo tunaendelea kuzingatia hali halisi ya wateja pale tunapoanda bidhaa mpya na pia tunajari jinsi ya kumfikishia mteja ili kuhakikisha kila mteja anafurahia huduma zetu kabambe..

26 July 2009

Tanzania band takes on Europe The Ngoma Africa Band

Tanzanian band based in Germany has released a new single CD Apache Wacha Pombe, which means, “Apache stop over drinking alcohol”. And by all accounts, it's a hit in Europe!This danceable song composed by bandleader Ebrahim Makunja aka Ras Makunja "bwana kichwa ngumu is about a poor man called "Apache" who spends all his meagre income in alcohol instead of taking care of his sweet family.The song reminds people like Apache to invest in the education of their children so that they can build a better future. It reminds them that they have to think of their families instead of wasting their money entertaining friends with drinks.On this new hit, Ras Makunja sings together with Soloist Christian Bakotessa aka Chris B.Apache is said to be already dominating many radio stations in Europe and some radio in East Africa with their style of music, which the reckon is a fusion of Tanzanian "Bongo Dance" with East African rumba. The have also maintained the tradition of singing in Swahili

TERRY GIONG NOWHERE

Chelsea manager Carlo Ancelotti has urged people to trust him when he says John Terry will remain at Stamford Bridge. The England captain has been linked with a British record move to big-spending Manchester City, with the Londoners having already rejected formal interest from Mark Hughes' men. Ancelotti was adamant when he first arrived at the club that Terry was a "symbol" of Chelsea and must be kept, and when asked again about the player's future on their pre-season tour of the United States, he said: "We have to wait and for some people, it's a problem to wait. But for sure, Terry will stay at Chelsea - we never had a problem. You have to have trust in me." I don't think it is a necessity now for us to go out and spend a ridiculous amount of money trying to find the perfect signing. Frank Lampard Chelsea striker Didier Drogba - who looks set to stay with the club after his own future was in doubt earlier this summer - added: "He's our captain and we need him. We know he's going to stay with us." Meanwhile, midfielder Frank Lampard does not think his club need to match City's spending to overhaul Manchester United as English Premier League champions. "I don't think it is a necessity now for us to go out and spend a ridiculous amount of money trying to find the perfect signing," he told the Sunday Mirror. "Of course, there's a couple of players out there who would add a lot to this team. "But there are millions of players who would not add much to this squad because we are strong across the board."

25 July 2009

Redknap keen on ex Gunner Vieira

Vieira has been on a pre-season tour of America with Inter Milan Tottenham manager Harry Redknapp says he would have no problem in bringing former Arsenal midfielder Patrick Vieira to White Hart Lane. Vieira, 33, played more than 400 games for Arsenal, but is said to be eager to join the Gunners' bitter rivals. And Redknapp, speaking after Spurs 1-1 friendly draw with Barcelona at Wembley on Friday, said: "I'm still interested in Patrick and he wants to play here. "He hasn't killed anyone, he's just a great player who played for Arsenal." Vieira won three Premier League titles and four FA Cups in nine seasons with the Gunners and scored the winning penalty in the 2005 FA Cup final shoot-out against Manchester United with his final kick in an Arsenal shirt. The Frenchman moved to Juventus in the summer of 2005 for £13.7m, before switching to Inter where he has won the last two Serie A titles. Vieria has also been linked with moves to Olympique Lyonnais and Paris St Germain, and Premier League new boys Birmingham in recent weeks as he seeks more regular first-team action. Spurs held European champions Barcelona to a draw in the inaugural Wembley Cup with Jake Livermore equalising after Bojan Krkic's opener. The Spanish side fielded a reserve team, while Redknapp took the chance to experiment at the heart of the Spurs defence with specialist centre-backs Ledley King, Michael Dawson and Jonathan Woodgate all out injured. Vedran Corluka, Tom Huddlestone, Pascal Chimbonda and Dorian Dervite all took turns at centre-back at Wembley.

24 July 2009

BENITEZ BOUYED BY GERRARD VERDICT

Gerrard (left) is vital to Benitez and the Liverpool team Liverpool manager Rafael Benitez is delighted that captain Steven Gerrard can return to his team after being found not guilty of affray. Gerrard, 29, missed the Reds' Far East pre-season tour to attend court and will now meet up again with the squad on their return to Europe next week. "We are really pleased," said Benitez. "He is very important for us and he can now focus just on football. "We are all pleased at the club and over here at the training camp." Gerrard figured in Liverpool's first two pre-season friendlies against St Gallen and Rapid Vienna before missing the game against Thailand. He will also be absent for the match against Singapore on Sunday, with his next action for the first-team expected to be against Espanyol in Spain on 2 August. I am very happy to have Yossi and Xabi back Reds boss Rafael Benitez "We have been supporting him all the time and were just waiting for the decision," added Benitez. "Now he can concentrate just on football and hopefully play at the same level as last year." Midfielders Xabi Alonso and Yossi Benayoun also sat out the 1-1 draw against Thailand with an ankle injuries but should play a part against Singapore. Alonso's return, in particular, will be significant for Liverpool as he has continually been linked with a switch to Real Madrid. "I am very happy to have Yossi and Xabi back," he said. "They are working very hard, the tempo of the session was fantastic and the fans really enjoyed it. "We are trying to step up our training every day, especially for the international players. On Friday we had three teams playing against each other. It was good competition and pleasing for me to see." Right-back Glen Johnson has arrived as Liverpool's major signing of the summer so far, although he may miss the game on Sunday as he the Reds manage his Achilles injury. Benitez said: "We are being careful with Glen, we do not want to do any further damage."

MTAARAMU WA KUKATA MAJANI KWENYE MTI TENA KWA STAREHE

Mdau wetu anakata nyasi kwenye mti tena kwa starehe zake akitumia jukwaa asilia na mkasi wa kisasa tena amekunja nne anautengeneza unakuwa wa duara akimaliza kukata nitakuonyesha utakavyokuwa ila hiyo ni kesho kakakaaa

KAMPUNI YA NDEGE YA ZARA AIR YAJA NA HABARI NJEMA

Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Zara Air akizungumzia ujio wa kampuni ya ndege itaanza shughuri zake hivi karibun katika ukumbi wa idara habari maelezo.
Kampuni ya Ndege ya Zara Air inawaletea habari njema watanzania kwani sasa wataweza kusafiri kwa bei poa kutoka sehemu mbalimbali nchini. kampuni hiyo ambayo itaanzan kutoa huduma zake aug 3 mwaka huu inatarajiwa kufanya safari zake katika mikoa ya mwanza kilimanjaro, moroni visiwa vya comoro, na Jburg afrika ya kusini akizungumzia malengo ya kampuni hiyo Mkurugenzi Misha M .Hango amesema kuwa itachochea utarii pia itatoa nafasi Emergency Endapo itatokea ikibidi hata kupunguza nauli vilevile amesema kuwa Lugha zitakazo tumika katika ndege zitakuwa kuwa ni kiswahili na kiingereza kawani ndio lugha ambazo zinaeleweka kwa abiria kutokana na mzunguko wa safari wanatakazo zifanya vilevile wanaamini kuwa bei zao zitamwezesha mtanzania wa kawaida kupanda ndege hasa kwa wagonjwa.

23 July 2009

JAKAYA AZINDUA MKONGO WA MAWASILIANO

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Jakaya Kikwete katika picha ya pamoja na waziri wa sayansi na teknorojia Prof Peter Msola katika picha ya pamoja na wafayanya kazi wa seacom Baada ya Kuzindua Rasmi Mkongo wa mawasiliano(marine fibre optic cable) kwenye stesheni ya seacom maeneo ya silversands jijini Dar es salaam

22 July 2009

Premier League - Maradona 'eyes Pompey role

Eurosport - Wed, 22 Jul 15:41:00 2009 Diego Maradona is ready to quit his job as Argentina national team boss and join Premier League side Portsmouth as a 'global ambassador', according to reports. UAE-based website 'arabianbusiness' claims to have seen e-mails from Maradona's lawyer, Angel Oscar Moyano, in which the 48-year-old is put forward for a role at the south coast club, recently taken over by Arab entrepreneur Sulaiman Al-Fahim. The e-mails are said to detail the former World Cup-winning captain's proposal to work in an upstairs role overseeing transfers, using his reputation to attract top players to the 2008 FA Cup winners. Paul Hart was confirmed as full-time manager of the club on Tuesday, the same day as Al-Fahim passed the Premier League's fit and proper person test, allowing him to officially take control of the club. Arabian Business report that in the e-mails Maradona is said to be eyeing a role "for which he offers his mediation for signing players of top level [sic] who with the support of Diego Armando Maradona, will be ready to come to Portsmouth FC." Moyano adds: "He's got all top players ready and even he's ready to leave Argentine national team." The website reports that Maradona wants to bring four international players to the club, although it does not name them. Despite his revered status in Argentina, Maradona has come under fire following the national side's struggles in World Cup qualifying. In a campaign which has seen them beaten four times already, the most noteworthy being the 6-1 defeat in Bolivia, they sit in fourth place in the CONMEBOL table, the final automatic qualification spot. Their next match is at home to leaders Brazil in September. Al-Fahim is reported to be good friends with Maradona's cousin Remigio, who met through their work as UN goodwill ambassadors, and he recently announced plans to open a Maradona Sports Café in the UAE next year.

MECHI ZA MAJARIBIO TIMU ZA LIGI KUU UINGEREZA

Barnet 2-2 Arsenal: Following his £10m move to the Gunners from Dutch club Ajax, defender Thomas Vermaelen (right) gets put through his paces by 40-year-old
21 July: Hollywood star Ashton Kutcher finds his way onto the Chelsea bench at the Rose Bowl in California for the Blues match against Inter Milan

JAMANI ARSENAL SIO TOVUTI HATA BLOG WANAO

Mwaka huu watakaiona tuu

WADAU WANGU JEZI YETU YA UGENINI GUNNERS

Unamuona Mrusia alivyopendeza mwa huu mzuka unaweza kuweka order sasa sio hela nyingi

MAISHA PLUS YAJA TENA

Shindano la MAISHA PLUS ambalo limekuwa kivutio hasa kwa watazamaji pia Tanzania Nzima linaanza Tena hivi karibu akizungumzia Shindano hlio mkurugenzi wa Maisha plus Masoud kipanya amesema Usaili umenza leo Tar 22 july kwa mchakato wa kugawa fomu kwa kuzingatia mgawanyo wa kikanda. Vilevile Mshindi wa maisha plus season 1 ambaye ni Mshiriki Kutoka Zanzibar alisema Kipindi cha maisha Plus ni zaidi ya Maisha kwani unajifunza vitu vingi ikiwemo zaidi ya kuishi na watu mbalimbali wenye tabia tofauti vilevile unapata maisha halisi ya Kijini na Uhalisia wake.Mshindi wa MAISHA PLUS season 1 Abdul Hafidhi alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kumbi ya idara habari maelezo kataika utambulisho wa MAISHA PLUS seson 2 Vilevile kwa upande mwingine Mkurugenzi wa MAISHA PLUS masoud kipanya alielezea kwa upana maana ya kipindi hicho kuwa ni kuelezea kwa upana kwa Jamii uhalizia wa kipindi kile na uwelewa wa kutafakari mambo kiupana zaidi na kujifunza mambo Mengi zaidi kimaisha na maisha ya mtanzania Halisi wa Kijijini. Zawadi ya Msimu huu ni shilingi Milioni 15 Vigezo vya Msingi vya kuweza Kushiriki ni Umri kati ya miaka ishirini na moja na ishirini na sita Elimu ya Sekondari au iliyo sawa na sekondari chuo cha ufundi na awe na Uraia wa Tanzania viajani wote wana ruhusiwa kushiriki waliooa na kuolewa.

21 July 2009

Ngumi lazima zitambuliwe jamani atupigani hovyohovyo

Picha ni mkufunzi wa sheria za ngumi nchini Emanuel Mlundwa akitambulisha pambano la ngumi la uzito wa midle weight wa International Circuit BOxing (ICB) kati ya Japhet Kaseba na Francis Cheka ambaye Ndiye Bingwa anayetetea Ubingwa huo japhet kaseba amezoeleka machoni pa watua wengi katika mchezo wa Kick Boxing lakini safari hii atacheza Boxing. Pichani ni Francis Cheka kutoka morogoro ambaye anatetea ubingwa wake hizi sasa amabpo atapigana na Japhet kaseba hivi karibuni wengine unao waona pichani ni wadau wa Mchezo ngumi chini

MISS REDDS ILALA KUTOA MASHINDANO MATATU

Jackson Kalikumkumtima mratibu wa pambano la miss ilala akisisitiza jambo anaye mfuata ni emilian rwejuna manager masoko kutoka vodacom walipokuwa wakitambulisha waandishi wa habari ma miss watakao shiriki Miss Ilaa Shindano la kumtafuta miss Redds ilala litatoa mashindano matatu ambapo yatajulikana kama Miss Issamichuzi blogspot Photogenic,Miss Talent,Miss Fabak Fashion Personality na miss Talent Katika utafutwaji wa miss Photogenic mashabiki watakiwa kuingia kwenye Blog maarufu nchini Tanzania issamichuzi blogspot na kufuata maelekezo .

Warembo hao kumi na saba wataondoka kesho kwenda Arusha kwa ajili ya kutembelea mbuga za wanyama na kupata mafunzo mbalimbali

Pichani ni Kulia ni Issamichuzi akiwakilisha blog ya issamichuziblogspot.com anayefuta ni mwakilishi kutoa Redds Alex Robert,anayefuata mratibu wa shindano Jacjson Kalimkutima na manager masoko Kutoka Vodacom Emilian Rwejuna.

20 July 2009

Is`Eto`o move to guesepe Meaza

Samuel Eto'o's agent will fly to Milan on Tuesday to attempt to hash out a deal that would take the Cameroon striker from Barcelona to Inter Milan, the Italians' technical director Marco Branca has said. The 28-year-old is part of the deal that would involve Sweden forward Zlatan Ibrahimovic moving in the opposite direction. The deal has not been finalized. There is still much to talk about, but I'm optimistic. Inter Milan technical director Marco Branca The Cameroonian is supposedly demanding €10m a year, but Italian press reports said Inter will offer him only €10m. And money is likely to be the main stumbling block to an agreement. "The Cameroonian's agent, Jose Maria Mesalles, will be in Milan tomorrow [Tuesday] during the day," said Branca. "The deal has not been finalized. There is still much to talk about, but I'm optimistic."

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers